BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, Marekani, Iran zinajadili uwezekano wa kusitisha vita kwa siku 45 - Axios
Kwa mujibu wa Reuters, ikiripoti kupitia Axios, Marekani, Iran na kundi la wapatanishi wa kikanda wanajadili masharti ya uwezekano wa kusitisha mapigano kwa siku 45, hatua ambayo inaweza kusababisha kumalizika kwa vita
Vita dhidi ya Iran vinawezaje kubadilisha sera za mataifa ya Kiarabu?
Wataalamu wanaamini, licha ya uwezo wa mataifa ya Ghuba kuvumilia Mashambulizi ya Iran, vita hivi vitaleta mabadiliko ya kimkakati.
Marekani inavyotumia AI katika vita dhidi ya Iran
Katika mahojiano ya kipekee na BBC, Palantir anasema mfumo wa AI Maven ulikuwa na jukumu kubwa kwa jeshi la Merekani katika kubaini maeneo lengwa katika vita dhidi ya Iran. Lakini kuna wasiwasi gani juu ya matumizi ya AI katika vita?
Jinsi vikosi maalum vya jeshi la Marekani hufanya oparesheni ya uokoaji wakati wa vita
Operesheni za kuokoa marubani wa Marekani waliopotea au kuanguka zimekuwa chache katika miongo ya hivi karibuni.
Kauli 'tata' za Trump na uhalisia wa vita Iran
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza ushindi kufuatia kuokolewa kwa rubani wa pili wa ndege ya kivita ya F-15 iliyodunguliwa ndani ya Iran, lakini matukio ya hivi karibuni yanaonyesha picha tofauti kuhusu hali halisi ya vita Iran.
Tetesi za Soka Ulaya: Vinicius Junior kutua EPL?
Mshambuliaji wa Real Madrid huenda akauzwa Ligi Kuu England, Manchester United wanatarajia kumuuza kiungo wa Uruguay Ugarte, huku Liverpool wakifikiria dili la kubadilishana wachezaji.
Jinsi rubani wa Marekani aliyetoweka Iran alivyookolewa
Marekani imemuokoa rubani wa pili aliyepotea baada ya ndege ya kivita ya nchi hiyo kudunguliwa kusini mwa Iran.
Je, vita dhidi ya Iran vinamnyima usingizi Kim Jong-un?
Korea Kaskazini kwa hakika ni taifa lenye silaha za nyuklia - na hata Rais wa Marekani Donald Trump alisema mwaka 2025 kwamba nchi hiyo ina "namna fulani ya nguvu za nyuklia" na "ghala kubwa la nyuklia".
Mvulana wa Kipalestina asimulia jinsi familia yake ilivyouawa na vikosi vya Israel
Anasema Mohammed alianguka kwenye mapaja ya Mustafa wakati ufyatuaji risasi ulipoanza, na nguo za Mustafa zikajaa damu.
Sayansi ya anga: Je, dunia itaisha vipi na lini?
Abrom Zabot anaongeza kuwa baadhi ya makadirio yanazungumzia trilioni za miaka, huku mengine yakihusisha muda mrefu zaidi.
Kwa nini saa ina dakika 60, na sio 100?
Wanamapinduzi waliamua kuwa siku igawanywe katika saa 10 badala ya 24. Kila saa ingekuwa na dakika 100 za desimali, na kila dakika ingegawanywa katika sekunde 100.
Jinsi ujasusi wa Marekani na Uingereza ulivyopindua serikali ya Iran mwaka wa 1953
Mpango wa Uingereza ulikuwa kumuondoa Mossadegh na kumweka Fazlullah Zahedi, ambaye walimwona kama mtu mwenye urahisi wa kufanya naye kazi.
Sikiza / Tazama
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Je, tunaelekea katika vita vya tatu vya dunia?
Kuingilia kati kwa Marekani pia kunachochea hali kuwa mbaya zaidi kwani hata nchi zisizohusika moja kwa moja huathirika kiuchumi au kimkakati.
Bei ya kondomu huenda ikapanda kutokana na vita vya Iran, Marekani na Israel
Sababu kuu ya tatizo hili ni matatizo yanayohusiana na usambazaji kutokana na vita. Uhaba wa makontena ya usafirishaji duniani unachelewesha usafirishaji kwa wateja nje ya nchi.
Pakistan imewezaje kuwa mpatanishi wa vita vya Trump na Iran?
Pia haina kambi za anga za Marekani. Na tofauti na wapatanishi wengi wa Ghuba bado Pakistan haijaingizwa kwenye mzozo huo. Muhimu zaidi, iko tayari kuingilia kati - amani kati ya Marekani na Iran itakuwa na manufaa yake.
Trump anapigana vita kwa kufuata hisia na hazifanyi kazi
Siku kumi na tatu baada ya vita, Trump aliulizwa na Fox News Radio vita vitaisha lini. Alijibu kwamba hakufikiri kwamba vita "vingekuwa virefu". Kuhusu kuimaliza, alisema "nitakapoihisi."
Je, kauli za Trump kuhusu kujiondoa NATO zina maana gani kwa muungano huo?
Trump amewakosoa wanachama wa Nato kwa kuonyesha kutounga mkono malengo ya Marekani nchini Iran.
Jinsi tishio la Urusi linavyoisukuma Ujerumani kuunda jeshi lenye nguvu zaidi Ulaya
Ujerumani inaamini kwamba juhudi za Urusi za kuimarisha jeshi lake kutaipa nguvu ya kutosha kuweza kushambulia eneo la NATO kufikia mwaka 2029.
Vita Iran: Tanzania yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta
Serikali nchini Tanzania imetangaza bei mpya ya juu ya mafuta inayoanza kutekelezwa hii leo Jumatano tarehe mosi Aprili 2026.
Kwa nini ni vigumu kwa Marekani kuchukua madini ya urani ya Iran?
Kuchimba akiba hiyo ya urani itakuwa moja ya "operesheni ngumu zaidi katika historia", afisa wa zamani wa ulinzi aliambia BBC.
Kwa nini Marekani inalenga kukiteka kisiwa cha Kharg cha Iran?
Kisiwa hicho kidogo kina miundombinu muhimu ya nishati ya Iran.
Silaha iliyoundwa na Iran inavyobadilisha vita vya anga duniani
Jeshi la Iran lilikuwa limeathiriwa na vita vya miaka mingi, na vikwazo vya Marekani vilimaanisha kwamba hakukuwa na njia rahisi ya kujenga upya jeshi lenye nguvu.
Je, kuna uwezekano gani kwa Marekani kuanzisha operesheni ya kijeshi ya ardhini Iran?
Wakati vita kati ya Iran, Marekani na Israel vikiingia siku yake ya thelathini, mkondo wa vita hivyo unashuhudia matukio ya haraka na mwelekeo unaobadilika zaidi
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Afya yako
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 6 Aprili 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 6 Aprili 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 6 Aprili 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 3 Aprili 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani



























































