Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kizza Besigye azimia mahakamani
Kizza Besigye azimia mahakamani
Iliyochapishwa
Tazama jinsi kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, 70, ambaye amekuwa akizuiliwa tangu Novemba 2024, alivyoanguka mahakamani alipokuwa akipinga mawakili walioteuliwa na serikali kumwakilisha