Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Utapiamlo na uzito kupita kiasi unavyoathiri nchi maskini
Utafiti uliochapishwa katika jarida la matibabu la Lancet unaonya kwamba idadi kubwa ya nchi zenye kipato cha chini zinakabiliwa na ukosefu wa lishe bora vile vile shida ya uzito kupita kiasi. Watafiti wanasema shida hii ya utapiamlo' inaweza kuwa na athari kwa vizazi vijavyo. Je, jamii inaweza kulindwa vipi kutokana na shida hii? wasiliana nasi kwenye ukurasa wa Fcebook BBCSwahili.